Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete na
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza wakikagua athari za mafuriko
zilizoharibu vibaya barabara ya Chalinze- Dar es Salaam eneo la Ruvu
Darajani leo.Mamia ya abiria walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko
hayo.Picha na Freddy Maro-IKULU
Loading...
Chediel . Powered by Blogger.
Post a Comment