Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

PICHA ZIKIONYESHA ILIVYOKUWA KATIKA MPAMBANO WA WATANI WA JADI KATI YA YANGA Vs SIMBA ULIYOCHEZWA KWENYE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM

 Jaja hakuweza fua dafu...
Mtanange ukiendelea...
 Kiungo wa timu ya Simba,Amri Kiemba akuchuana vikali na Mshambuliaji wa timu ya Yanga,Andrey Coutinho wakati wa mtanange wa watani wa Jadi Yanga na Simba uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana  ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
 Dogo akiwachambua wana Yanga...
 Shabiki wa Simba akionyesha bango linaloonyesha michezo iliyopita waliowahi kucheza na Yanga na kushinda
 Mashabiki wa Simba
 Mashabiki wa  Yanga Wakifanya Yao
kipa wa timu ya Simba, Manyika Peter (kushoto) akipongezwa na kipa wa Yanga, Deogratius Munishi baada ya kumalizika kwa  mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania  uliochezwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana. timu zote zimetoka sare ya bila kufungana. katika michezo mingine iliyochezwa katika viwanja tofauti, Azam FC wameweza kuwafunga, Mbeya City bao 1-0 lililofungwa katika daki ya 18 ya mchezo na Agrrey Moris, mchezo huo ulichezwa katika Uwanja wa Sokonne jijini Mbeya na huko Mtwara katika Uwanja wa Nangwanda, JKT RUVU wameweza kwafunga wenyeji timu ya Ndanda FC bao 3-1 na katika mchezo mwingine uliochezwa katika Uwanja wa Jamhuri mjini Kasoro Bahari mkoani Morogoro kati ya Mtibwa Sugar na Polisi Morogoro, timu hizo zimetoka suru bin suru, Coast Union nayo imeibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Mgambo
 Kipa wa Siba, Manyika Peter akipongezwa na mashabiki wa timu hiyo baada ya mchezo kumalizika.
 Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, akiwasalimia mashabiki wa timu hiyo
Makocha wa yanga na Simba, Maximo (kushoto)akisalimiana na Patrick Phili kabla ya mchezo.
 
PICHA NA OTHMAN MICHUZI NA ANTHONY SIAME
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top