Jaja hakuweza fua dafu...
Mtanange ukiendelea...
Kiungo
wa timu ya Simba,Amri Kiemba akuchuana vikali na Mshambuliaji wa timu
ya Yanga,Andrey Coutinho wakati wa mtanange wa watani wa Jadi Yanga na
Simba uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana ikiwa
ni sehemu ya muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Timu hizo zimetoka
sare ya bila kufungana.
Dogo akiwachambua wana Yanga...
Shabiki wa Simba akionyesha bango
linaloonyesha michezo iliyopita waliowahi kucheza na Yanga na kushinda
Mashabiki wa Simba
Mashabiki wa Yanga Wakifanya Yao
kipa wa timu ya Simba, Manyika Peter (kushoto)
akipongezwa na kipa wa Yanga, Deogratius Munishi baada ya kumalizika kwa
mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania uliochezwa katika Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam jana. timu zote zimetoka sare ya bila kufungana.
katika michezo mingine iliyochezwa katika viwanja tofauti, Azam FC wameweza
kuwafunga, Mbeya City bao 1-0 lililofungwa katika daki ya 18 ya mchezo na
Agrrey Moris, mchezo huo ulichezwa katika Uwanja wa Sokonne jijini Mbeya na
huko Mtwara katika Uwanja wa Nangwanda, JKT RUVU wameweza kwafunga wenyeji
timu ya Ndanda FC bao 3-1 na katika mchezo mwingine uliochezwa katika Uwanja
wa Jamhuri mjini Kasoro Bahari mkoani Morogoro kati ya Mtibwa Sugar na
Polisi Morogoro, timu hizo zimetoka suru bin suru, Coast Union nayo imeibuka
na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Mgambo
|
Kipa wa Siba, Manyika Peter akipongezwa na mashabiki wa timu hiyo
baada ya mchezo kumalizika.
Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo,
akiwasalimia mashabiki wa timu hiyo
Makocha wa yanga na Simba, Maximo
(kushoto)akisalimiana na Patrick Phili kabla ya mchezo.
PICHA NA OTHMAN MICHUZI NA ANTHONY SIAME
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Michezo
on Monday, October 20, 2014
Post a Comment