Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:SIMBANET(T) LTD NA SIKU YA FAMILIA JUMAMOSI KATIKA UFUKWE WA HOTELI YA BAHARI BEACH

 Kampuni ya SimbaNET (T) Linited ya jijini Dar es Salaam Jumamosi hii iliandaa bonanza la michezo lililowakutanisha pamoja wafanyakazi wa kampuni hiyo na familia zao. Siku hiyo ilikuwa ni ya kula kunywa na kuchezo michezo ya aina mbalimbali ikiwepo soka, kuvutana kamba, kuogelea, muziki na michezo mbalimbali ya watoto. Kampuni ya Seree ndio walikuwa waandaaji wa tafrija hiyo iliyofanyika kwa mafanikio makubwa katika ufukwe wa Hoteli ya Bahai Beach.
 
 wafanyakazi na familia zao wakichukua kifuangua kinywa mara baada ya kuwasili bahari Beach Hotel.
 
 Hii ni trela tu...
 
Wafanyakazi wakipata kifungua kinywa.
 
 Watoto wakifurahia na kushiriki michezo mbalimbali ya kuogelea.
 
Mgeni rasmi katika siku hiyo ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa SimbaNET (T) Limited, Rakesh Kukreja akisalimia wachezaji wa timu zote akifuatana na kamisaa wa michezo hiyo Patrick Nyembela.
 
 
 
 Mchezo wa kuvuta kamba ulifanyika kwa makundi mbalimbali kutokana na fulana walizovaa. na Team ya weupe ndio waliibuka washindi. 
Picha zaidi Bofya FATHER KIDEVU BLOG
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top