|
Wazir
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akizungumza
na wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime kuhusu masuala mbalimbali ya
kitaifa na kimataifa ambapo wanafunzi hao walipata nafasi ya kumuuliza
maswali na kuyajibu kabla hajafungua maabara ya sayansi na maktaba na
mahafali ya tano ya kidato cha sita ya shule hiyo. Wengine wanaoonekana
ni wageni alioambatana nao na walimu wa Tusiime. |
|
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Akisikiliza
maelezo kutoka kwa mwanafunzi wa kidato cha pili sekondari ya Tusiime,
Khadija Suleiman kuhusu namna ya kuchuja maji wakati Waziri alipofungua
rasmi maabara ya kisasa ya sayansi na maktaba na mahafali ya tano ya
kidato cha sita ya shule hiyo. |
|
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akipata
maelezo kutoka kwa Angela Shanira wa kitado cha tano sekondari ya
Tusiime Tabata kuhusu masuala mbalimbali ya kisayansi kwenye maabara ya
shule hiyo wakati Waziri alipofungua rasmi maabara ya kisasa ya sayansi
na maktaba na mahafali ya tano ya kidato cha sita ya shule hiyo. |
|
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akikata
utepe kuzindia maabara ya kisasa ya sayansi na maktaba ya shule ya
sekondari Tusiime kabla yajatoa vyeti kwa wahitimu wa kitado cha tano wa
shule hiyo. Wengine ni kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi, Dk. John Mbogoma
kulia kwa Waziri ni Mkurugenzi wa shule hizo, Albert Katagira, Meneja wa
shule Jane Katagira, na Mkuu wa shule ya sekondari Tusiime, Emil
Rugambwa. |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Monday, March 30, 2015
1 comments:
Nice blog and article, thanks for sharing. However want to statement on few common issues, The website taste is great, the articles is in point of fact excellent
ReplyPost a Comment