Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TOVUTI YA NAFASI ZA AJIRA YAZINDULIWA JIJINI LEO

  Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akimpa maua balozi mpya wa Owbaz, Abernego Damian Nyamoga ‘Belle 9’ katika hafla ya uzinduzi rasmi wa tovuti hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Cosmos,  Muhammad Owais Pardesi na Mkurugenzi Rasilimali Watu wa kampuni ya bima ya Aris, Paritosh Bajaria.
 Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa tovuti hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto kwake ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Cosmos,  Muhammad Owais Pardesi, balozi wa Owbaz, msanii wa muziki wa kizazi kipya Abernego Damian Nyamoga ‘Belle 9’  na Mkurugenzi Rasilimali Watu wa kampuni ya bima ya Aris, Paritosh Bajaria.
 Afisa Mtendaji Mkuu wa Cosmos, na mwanzilishi wa tovuti mpya ya Owbaz, Muhammad Owais Pardes (kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa tovuti hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abernego Damian Nyamoga ‘Belle 9’ (wa tano kushoto) ambaye ni balozi wa tovuti ya Owbaz, akipozi kwa picha pamoja na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa tovuti hiyo jijini Dar esSalaam mwa wiki.

 Baadhi ya wageni waalikwa wakipiga picha ya kumbukumbu na  msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abernego Damian Nyamoga ‘Belle 9’katika hafla ya uzinduzi wa tovuti hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top