 |
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Margaret
B. Ziwa akimkaribisha Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasili kwenye
Makao Makuu ya Jumuiya hiyo kwa ajili ya kuwahutubia Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki mjini Arusha
tarehe 27 Novemba, 2012.
|
 |
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika
Mashariki, Mhe. Margaret
Ziwa akitoa salamu za kumkaribisha Mhe. Rais Kikwete kuhutubia Bunge la
Jumuiya ya Afrika Mashariki. Anayeoneka pembeni mwa Mhe. Ziwa ni Mhe.
Anne Makinda, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
|
 |
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisisitiza jambo wakati
alipokuwa anawahutubia Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki mijini Arusha
tarehe 27 Novemba,2012
|
 |
Baadhi ya Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki na wageni waalikwa
wakimsikiliza Mhe. Rais Kikwete alipowahutubia. |
 |
Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja
na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Ziwa mbele ya Jengo Jipya la Makao Makuu ya EAC.
|
 |
Bw. David Mwakanjuk (katikati), Afisa kutoka Wizara ya
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akifafanua jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha (kushoto) Mhe. Magesa
Mulongo kabla ya kikao cha Bunge la EAC kuanza tarehe 27 Novemba, 2012.
Mwingine katika picha ni Afisa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
|
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Wednesday, November 28, 2012
Post a Comment