Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Mbunge wa Kigamboni Faustine Ndugulile afukuzwa Bungeni

Mbunge Kigamboni Faustine Ndungulile afukuzwa bungeni na kuzuiwa kuhudhuria vikao vitatu kwa kushindwa kuthibitisha rushwa wizara ya ardhi

Mbunge huyo wa kigamboni ametolewa nje na naibu spika Ndugai baada ya kukataa kufuta kauli yake aliyoambiwa aifute kauli yake kwamba waziri amewahonga madiwani na kuwaleta Bungeni.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top