Wakiwa timu moja ya SIMBA waheshimiwa hawa wamedhihirisha kuwa Siasa si ugomvi.Pamoja na tofauti zao kubwa kiitikadi wawapo uwanja wa Siasa kumbe wanasiasa hawa wanakutana na kucheza pamoja.Hapa ni Lusinde ,Nassari,Zitto na Ngeleja wakiwa timu moja na kuweza kuiwezesha timu yao yaSimba kuwafunga wale wa Yanga ! TUBADILIKELoading...
MPAMBANO WA WABUNGE WAPENZI WA SIMBA NA YANGA WADHIHIRISHA SIASA SI UGOMVI
Wakiwa timu moja ya SIMBA waheshimiwa hawa wamedhihirisha kuwa Siasa si ugomvi.Pamoja na tofauti zao kubwa kiitikadi wawapo uwanja wa Siasa kumbe wanasiasa hawa wanakutana na kucheza pamoja.Hapa ni Lusinde ,Nassari,Zitto na Ngeleja wakiwa timu moja na kuweza kuiwezesha timu yao yaSimba kuwafunga wale wa Yanga ! TUBADILIKE
Chediel . Powered by Blogger.
Post a Comment