Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

SIMBA NA VITA ZATOSHANA NGUVU


Wachezaji wa Simba wakimpongeza Boban alieisawazishia timu yake goli kipindi cha pili
Sehemu ya Mashabiki wa Simba wakiwa wamesimama wakati wa kuwaombea dua wale waote waliofarikii kutokana na ajali ya boti iliyotokea huko Zanzibar
Sunzu akimiliki mpira na kujaribu kumpita beki wa Vita Club kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Kongo katika mchezo wa kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, ambapo timu hizo zimetoka sare ya magoli 1-1
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top