Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:SIMBA ALIPOFUNGWA JANA

Ramadhani Chombo Redondo akimvutia kasi Juma Nyosso
Felix Sunzu wakati mwingine ilibidi arudi kusaidia nyuma pale alipoona mambo hayaendei hapo akiondosha hatari langoni pale Azam walipokuwa wanashambulia.
Kipre Tcheche akiangalia alipo John Boko kabla ya kupiga krosi langoni mwa simba katika mechi ya Kagame Cup 2012 katika uwanja wa Taifa Ambapo Simba walikubali kipigo cha goli tatu kwa moja

Mchezaji wa SImba akijitahidi kumpita mchezaji wa Azam katika mpambano uliotawaliwa na Azam kwa Simba kupigwa kipigo ambacho hakikutarajiwa na Mashabiki wake waliojazana ndani ya Uwanja wa Taifa jana.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top