Ushindi wa Obama dhidi ya Romney ni fundisho zuri kwa upinzani nchini
kwetu kama wataamua kujifunza, mafunzo muhimu sana kwa washindani wa
kisiasa ni pamoja na;
1. Kiwango cha utekelezaji wa ahadi
mbalimbali na mipango (Ilani ya uchaguzi) kwa wananchi ina nguvu kubwa
katika kuwafanya wapiga kura kuamua nani wa kumpa kura wakati wa kupiga
kura..... Kupigia kura mabadiliko au la....
2. Kelele nyngi na wingi wa wapiga kelele si kigezo cha kupata kura
nyingi siku ya kupigiwa kura......mikakati na ukaribu na wapiga kura
ambao huonyesha ni kiasi gani Chama kiko karibu na kuzijua changamoto
zinazowakabili wapiga kura ni moja ya misingi mikubwa...
3.
Kutumia muda mwingi kuponda mafanikio yaliyopatikana kwenye kipindi cha
mshindani wako...hasa aliyeko madarakani hakusaidii kukufanya upate kura
bali wenye akili zao wataona unawadharau na kuwaona wajinga kama vile
hawaoni yaliyofanyika.....ndicho kilichommaliza Romney...
4.
Lakini ushindi kwa Obama ni dalili njema za kukubalika kwa fikra za
kijamaa kwa Taifa kubwa na la kibepari duniani.....sasa tizameni upya
itikadi zenu........
Imeandikwa na Nape Nnauye
2. Kelele nyngi na wingi wa wapiga kelele si kigezo cha kupata kura nyingi siku ya kupigiwa kura......mikakati na ukaribu na wapiga kura ambao huonyesha ni kiasi gani Chama kiko karibu na kuzijua changamoto zinazowakabili wapiga kura ni moja ya misingi mikubwa...
3. Kutumia muda mwingi kuponda mafanikio yaliyopatikana kwenye kipindi cha mshindani wako...hasa aliyeko madarakani hakusaidii kukufanya upate kura bali wenye akili zao wataona unawadharau na kuwaona wajinga kama vile hawaoni yaliyofanyika.....ndicho kilichommaliza Romney...
4. Lakini ushindi kwa Obama ni dalili njema za kukubalika kwa fikra za kijamaa kwa Taifa kubwa na la kibepari duniani.....sasa tizameni upya itikadi zenu........
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Siasa
on Wednesday, November 7, 2012

Post a Comment