Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KOFII OLOMIDE ALIVYOLISHIKA JIJI LA DAR

 
Mwanamuziki Kofii Olomide akiimba jukwaani na kundi lake katika Onesho linalofanyiki jana usiku kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo wageni waalikwa na mashabiki mbalimbali wamefurika katika viwanja hivvyo , ili waweze kushuhudia shughuli pevu ya mwanamuziki huyo nguli wa muziki Barani Afrika.

Kofii Olomide akiimba na mmoja wa waimbaji wake Cindy.Mwanamuziki Kofii Olomide akiwa na mmoja wa waimbaji wake wa kike wakipagawisha mashabiki wa bendi hiyo waliojitokeza kwa wingi katika viwanja vya Leaders ili kushuhudia kile anachokifanya jukwaani.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Clouds Media Group akizungumza kumshukuru mwanamuziki Kofii Olomide na mashabiki waliojitokeza kwa wingi katika onesho hilo kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam.

  
Vimwana wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide wakimwaga mauno kwa kwenda mbele jukwaani katika onesho hilo


Mwanamuziki Kofii Olomide akiwa amezungukwa na vimwana hao ambao ni wanenguajia wa bendi yake huku akiwa katikati yao kama mfalme.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top