Viongozi wa chadema kutoka kushoto ni Afisa wa habari wa CHADEMA dmv Ndg
Kalley Pandukizi, Mwenyekiti wa Chadema DMV Ndg Cosmas Wambura, Katibu
wa Chadema DMV Ndg Baby Mgaza, Mwenyekiti wa wanawake Ndg Mariam Khamis
na Aliyekuwa Katibu wa Kwanza Ndg Liberatus Mwang'ombe.
Mwenyekiti wa Chadema Tawi la Washington DC Ndg Cosmas Wambura
akihutubia katika Sherehe za Kuaga mwaka 2012 zilizofanyika katika
ukumbi wa Mirage Hall, Maryland USA.
Katibu wa Chadema wa tawi la DMV Marekani Ndg Isidory Lyamuya.
Katibu wa baraza la wanawake wa Tawi la Chadema DMV Marekani Baby Mgaza.
Katibu mwenezi wa Tawi la Chadema DMV Ndg Hussein Kauzela.
Afisa wa Habari wa Tawi la Chadema DMV Ndg Kalley Pandukizi.
Aliyekuwa katibu wa kwanza wa Tawi la Chadema DMV Liberatus Mwang'ombe.
Mmoja kati ya Wanachama wapya wa Chadema ambaye amejiunga na CHADEMA kutokea CANADA.
Post a Comment