Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi baada ya
msafara wake kufika stesheni ya Morogoro wakiwa njiani kutoka Dar es
Salaam kwenda Kigoma
Dk Migiro akisalimia wananchi Morogoro
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimia wananchi Stesheni ya Morogoro terni ilipofika jana saanne usiku
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha Rose akisalimia wananchi Morogoro
Kinana na ujumbe wake wakaiwaaga wananchi mjini Morogoro
Kinana na msafara wake wakiwa Stesheni ya Dodoma leo asubuhi
PICHA NA DAILY NKOROMO BLOG.
Post a Comment