Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KINANA NA MSAFARA WAKE KWA TRENI ULIPOFIKA MORO NA DODOMA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi baada ya msafara wake kufika stesheni ya Morogoro wakiwa njiani kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma
 Dk Migiro akisalimia wananchi Morogoro
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimia wananchi Stesheni ya Morogoro terni ilipofika jana saanne usiku
 Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha Rose akisalimia wananchi Morogoro
Kinana na ujumbe wake wakaiwaaga wananchi  mjini Morogoro
Kinana na msafara wake wakiwa Stesheni ya Dodoma leo asubuhi
 
PICHA NA DAILY NKOROMO BLOG.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top