Mrembo Jacqueline Wolper akiwapa ‘hi’ mashabiki.
Jacob Steven ‘JB’ akionyesha umahiri wake wa kusakata rhumba wakati wa tamasha hilo.
Steve Nyerere naye akionyesha manjonjo yake stejini.
Mastaa wa filamu wakiwa jukwaani kuwasalimia mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Msanii Afande Sele akiwarusha mashabiki ndani ya Dar Live.
Tundaman akiwachizisha mashabiki.
Richie naye akionyesha ufundi jukwaani.
Shamsa Ford akisema na mshabiki.
Bi. Mwenda akiwa kapagawa na shangwe za Dar Live.
Mrisho Mpoto akiwapa raha mashabiki.
Afande Sele akiwapa ‘hi’ mashabiki.
Mgeni rasmi katika tamasha hilo ambaye pia ni Meya wa Ilala, Mhe. Jerry Slaa akiwasabahi mashabiki.
Picha na Mjengwa Blog.
Post a Comment