|
Wananchi
wa Kijiji cha Karunga kata ya Heru Juu,Kasulu wakiwa na nyuso za
furaha wakati wa kumpokea Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Ndugu Nape
Nnauye. |
|
Katibu
wa NEC,Itikadi na Uenezi ,Ndugu Nape Nnauye akipokelewa na Mjumbe wa
NEC wilaya ya Kasulu,Daniel Nswanzigwanko pamoja na viongozi wengine wa
chama wakati akiwasili kijiji cha Karunga,kata ya Heru juu. |
|
Katibu
wa NEC-Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akiwasalimu wakazi wa Kjiji cha
Karunga,kata ya Heru Juu kabla ya kwenda Kasulu mjini ambako alifanya
mkutano mkubwa wa hadhara. |
|
Mkuu
wa Wilaya ya Kasulu Ndugu Daniel Makanga akiwaeleza wananchi hatua
zilizochukuliwa kuboresha ulinzi na usalama wa eneo hilo,na pia kueleza
lini kutapatikana maji safi na salama kwa wananchi wa eneo hilo. |
|
Mjumbe wa NEC Wilaya ya Kasulu,Daniel Nswanzigwanko akihutubia wananchi wa Kasulu mjini tarehe 29/1/2013 |
|
Band ya Vijana wa CCM Kasulu mjini ikitumbuiza wakati wa mkutano wa hadhara . |
|
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akipokea baadhi ya kadi za wanachama wa chama pinzani walioamua kurudi CCM |
|
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi akihutubia wananchi wa Kasulu mjini ,Katibu wa
NEC aliwaambia wananchi kuwa muda wa watendaji wa serikali za viji
kujifanya muungu watu umekwisha na pia maendeleo yanakwamishwa sana na
wapinzani maana kila jambo jema wana pinga.PICHA NA CCM BLOG |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Siasa
on Wednesday, January 30, 2013
Post a Comment