Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAANDAMANO YA KUDAI MAENDELEO KUANDALIWA


Na Shomari Binda
       Musoma,

DIWANI wa kata ya Kigera iliyopo katika Manispaa ya Musoma kupitia Chama cha Wananchi (CUF) Gabriel Ocharo aliliomba Baraza la madiwani wa Manispaa hiyo kuandaa maandamano makubwa yatakayokuwa na lengo la kuishinikiza Serikali kupeleka miradi ya Maendeleo katika Manispaa hiyo.

Ocharo alitoa kauli hiyo katika kikao cha Baraza la madiwani wa Manispaa hiyo ambapo alidai Miradi mbalimbali ya Maendeleo ambayo imekuwa ikipitishwa katika vikao vya bajeti imekuwa haitekelezwi hivyo kukwamisha shughuli za maendeleo kwa Wananchi.

Alisema Miradi hiyo ikiwemo ya ujenzi wa zahanati,nyumba za walimu pamoja na miradi mingine inayotolewa katika bajeti imekuwa haitekelezwi na Serikali na kuiacha Manispaa hiyo ikiwa nyuma katika shughuli za kimaendeleo pamoja na elimu.

Diwani hayu alisema haiwezekani kulikalia kimya suala hilo huku Wananchi wakiendelea kwalalamikia madiwani kwamba hawafanyi kazi wakati Serikali ya (CCM) inashindwa kutimiza wajibu wake wa kutekeleza miradi ambayo imekuwa ikitolewa.

Nje ya kikao hicho Ocharo aliliambia Gazeti la Mtanzania kuwa hapendi kuamini kama Serikali inashindwa kupeleka miradi ya kimaendeleo katika Manispaa hiyo kwa kuwa inaongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bali anachokisema ni kwa nini miradi ya Maendeleo inashindwa kutekelezwa.

Alisema ipo miradi ambayo ilitangazwa na Serikali katika Diwana wa kata ya Kigera iliyopo katika Manispaa ya Musoma kupitia Chama cha Wananchi (CUF) Gabriel Ocharo aliliomba Baraza la madiwani wa Manispaa hiyo kuandaa maandamano makubwa yatakayokuwa na lengo la kuishinikiza Serikali kupeleka miradi ya Maendeleo katika Manispaa hiyo.

Ocharo alitoa kauli hiyo katika kikao cha Baraza la madiwani wa Manispaa hiyo ambapo alidai Miradi mbalimbali ya Maendeleo ambayo imekuwa ikipitishwa katika vikao vya bajeti imekuwa haitekelezwi hivyo kukwamisha shughuli za maendeleo kwa Wananchi.

Alisema Miradi hiyo ikiwemo ya ujenzi wa zahanati,nyumba za walimu pamoja na miradi mingine inayotolewa katika bajeti imekuwa haitekelezwi na Serikali na kuiacha Manispaa hiyo ikiwa nyuma katika shughuli za kimaendeleo pamoja na elimu.

Diwani hayu alisema haiwezekani kulikalia kimya suala hilo huku Wananchi wakiendelea kwalalamikia madiwani kwamba hawafanyi kazi wakati Serikali ya (CCM) inashindwa kutimiza wajibu wake wa kutekeleza miradi ambayo imekuwa ikitolewa.

Nje ya kikao hicho Ocharo aliliambia Gazeti la Mtanzania kuwa hapendi kuamini kama Serikali inashindwa kupeleka miradi ya kimaendeleo katika Manispaa hiyo kwa kuwa inaongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top