Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MKUTANO WA CCM KILOSA WAFANA


Katibu wa CCM mkoa  wa Morogoro akihutubia wananchi wa  Ruaha wilaya wa Kilosa.

Mwenyekiti wa  CCM wilaya wa Kilosa  ,Nassoro Udelele akijibu swala la wahanga wa ardhi katika wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha.

Mshairi maarufu wa Morogoro,,Ndugu Maulid Chambilila akighani wakati wa mkutano wa hadhara uiofanyika kata ya Ruaha,wilaya ya Kilosa.

Dk.Mohamed Seif Khatib akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa ,kata ya Ruaha ambapo aligusia umuhimu wa Muungano.

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha na kuwashukuru kufanikisha uchaguzi wa wajumbe wa mabaraza ya katiba.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu abdulrahaman Kinana  akizungumza na wananchi wa Ruaha wilaya ya Kilosa.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top