Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.DKT.MOHAMMED GHARIB BILAL AKISAMILIANA NA MBUNGE WA ARUSHA MJINI

lema_8d979.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbles Lema nje ya ukumbi wa mikutano wa A I C C Arusha, Baada ya kufungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC katika ukumbi wa A I C C mjini Arusha leo 20 Octoba 2013. Kushoto Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top