Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Prof
Ibrahim Lipumba amemtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe
Dkt John Pombe Magufuli na kumpongeza kwa hotuba nzuri iliyoweka
mwelekeo mpya wa Serikali ya Awamu ya Tano.
Pia Prof Lipumba amesifu na kuunga mkono Juhudi za Mhe Rais katika kupambana na wakwepa kodi na wahujumu uchumi.
Pia Prof Lipumba amesifu na kuunga mkono Juhudi za Mhe Rais katika kupambana na wakwepa kodi na wahujumu uchumi.
Post a Comment