Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HIVI NDIVYO VAZI LA KHANGA LILIVYONOGA KATIKA TAMASHA LA KITCHEN PARTY GALA.

Jumapili iliyoisha ya tarehe 08.11. 2015, wanawake mbali mbali jijini Dar es salaam walikutana katika tamasha la kitchen party gala likiwa limebeba ujumbe wa mwanamke simama na timiza ndoto zako.

Wanawake wakiwa wamevalia khanga ambayo ndio ilikuwa dress code ya tamasha walikusanyika kwa wingi kwa ajili ya kupata mafunzo na ushauri bila kusahau burudani.

Pia  Ilichezeshwa droo ya kushinda safari ya Afrika Kusini kwa siku mbili  alishinda, iliyodhaminiwa na kinyago tours. Pamoja na droo ya kumtafuta Mshindi wa safari ya Mikumi national park nae alipatikana akapokea certificate toka kwa mkurugenzi wa kinyago tours bi Diana.
                                   Muongoza shughuli Dina Marios akisisitiza jambo.
Ilichezeshwa droo ya kushinda safari ya Afrika Kusini kwa siku mbili na huyu dada ndio alishinda.Atasafiri na mumewe mtarajiwa na imedhaminiwa na kinyago tours.
Mshindi wa safari ya Mikumi national park nae alipatikana bi Edna Haki Ngowi akipokea certificate toka kwa mkurugenzi wa kinyago tours bi Diana

 Washiriki wa kiwa na cake maalum ya sikukuu yakuzaliwa Bi Rosemary ambayohaikuweza kutambulika kwa haraka kuwa ilikuwa keki maalumu yanani katika   kitchen party gala.
Waandaaji wa women in balance kitchen party gala Mtangazaji wa E fm Dina Marios na Vida Mndolwa wakigonga chears kufungua shughuli.
                                     Dina marios akipiga selfie na mashabiki wake
 
                                                   PICHA NA DINA MARIOS.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top