Nasib Abdul ni jina halisi la Diamond Platnumz.
Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 na muigizaji wa filamu alikuwa akijibu
swali kwenye kipindi cha Hitzone kupitia kituo cha redio cha Jembe FM
cha jijini Mwanza alipoulizwa ni mwanaume gani ambaye alitamani awe mume
wake wa ndoa.
“Ni yupi ambaye niliwahi kusema huyu anaweza kuwa wa maisha,” alisema Wema. “Kiukweli alikuwa anaitwa Nasib Abdul,nilishawahi kusema hivyo,” alisisitiza.
Hata hivyo ndoto hiyo iliyeyuka baada ya wawili hao kuachana mwaka jana
na Diamond kuhamisha mahaba yake kwa Zari the Bosslady ambaye tayari
wana mtoto wa kike, Tiffah.
Post a Comment