Mafundi
wakiendelea na kazi ya kulaza mabomba ya Maji eneo la Mbezi Beach
jijini Dar es salaam. Mabomba hayo ambayo sasa yamekamilika kwa urefu wa
kilometa 54.8 kati ya 55.9 yatatumika kusafirisha maji kutoka mtambo wa
kuzalisha maji wa Ruvu Chini, Bagamoyo mkoani Pwani.
Maneja
wa Kampuni ya Gauff Consultants, Thorsten Seitz akitoa ufafanuzi kwa
waandishi wa Habari kuhusu maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa bomba hilo
la kusafirishia Maji kutoka Ruvu Chini
Post a Comment