Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Maandamano ya Vijana wa CHADEMA Kwenda Ikulu Kushinikiza TBC Ionyeshe Bunge LIVE Yapigwa Marufuku

Jeshi la Polisi kanda Maalumu Dar, limepiga marufuku maandamano ya Vijana wa CHADEMA kwenda Ikulu kwa lengo la kushinikiza TBC ionyeshe Bunge LIVE.

Kamanda Sirro amesema kuwa hakuna taarifa na pia hakuna uthibitisho kuwa maandamano hayo yatapokewa na Rais Magufuli.

Pia, Kamanda Sirro alieleza kuwa BAVICHA hawakuanisha barabara ambazo wanatarajia kutumia katika maandamano hayo.
 “Siku hiyo sio nzuri sana kwa sababu ni siku ambayo watu wanakuwa kazini. Ni siku ambayo wengi watataka kutumia barabara hizo kwa ajili ya huduma za kijamii. Na kwa sababu kuna option nyingine ya kuweza kupata suluhu hiyo, nisema tu kwamba maandamano hayo yamepigwa marufuku,” alisema.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top