Waziri wa Elimu, Joyce Ndalichako amewasitishia mikataba Mkurugenzi Mkuu
wa Bodi ya Mikopo (HESLB) na Wakurugenzi wengine watatu kutokana na
utendaji mbovu katika kuendesha bodi hiyo.
Waliosimamishwa ni Mkurugenzi Mkuu wa bodi hiyo na wenzake watatu kwa uzembe na ubadhirifu wa fedha.
........................................................
Waziri wa Elimu Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof Joyce Ndalichako amesitisha mkataba wa kazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikop George Nyatenga (Pichani).
Pia amewasimamisha kazi wakurugezi watatu wa Bodi hiyo ambao ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Yusufu Kisare, Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo, Juma Chagonja na Mkurugenzi wa Upangaji na Utoaji Mikopo kwa utendaji usioridhisha, Prof Ndalichako pia ameagiza kufanyike uhakiki wa maelezo na nyaraka zilizowasiliwa na Bodi ya Mikopo pamoja na kufanya ukaguzi maalum kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2013 hadi sasa. ============ Update
Mkurugenzi Mkuu wa Mikopo ya wanafunzi asimamishwa kazi, wengine ni Mkurugenzi wa Urejeshaji wa Mikopo, Mkurugenzi Upangaji na Utoaji wa Mikopo.
Mkataba wa Mkurugenzi Mtendaji HESLB umesitishwa.
Waliosimamishwa ni Mhasibu Mkuu, Mkurugenzi wa Utoaji Mikopo Laizer na Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo, wamesimamishwa kupisha uchunguzi.
Amewateua wafuatao ku Kaimu nafasi; Kaimu Mkurugenzi Mtendaji mteule ni Bw. Jerry Sabi kutoka Mzumbe University na Kaimu Mhasibu Mkuu mteule ni Bw. Daniel Mafie kutoka NECTA
Waliosimamishwa ni Mkurugenzi Mkuu wa bodi hiyo na wenzake watatu kwa uzembe na ubadhirifu wa fedha.
........................................................
Waziri wa Elimu Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof Joyce Ndalichako amesitisha mkataba wa kazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikop George Nyatenga (Pichani).
Pia amewasimamisha kazi wakurugezi watatu wa Bodi hiyo ambao ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Yusufu Kisare, Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo, Juma Chagonja na Mkurugenzi wa Upangaji na Utoaji Mikopo kwa utendaji usioridhisha, Prof Ndalichako pia ameagiza kufanyike uhakiki wa maelezo na nyaraka zilizowasiliwa na Bodi ya Mikopo pamoja na kufanya ukaguzi maalum kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2013 hadi sasa. ============ Update
Mkurugenzi Mkuu wa Mikopo ya wanafunzi asimamishwa kazi, wengine ni Mkurugenzi wa Urejeshaji wa Mikopo, Mkurugenzi Upangaji na Utoaji wa Mikopo.
Mkataba wa Mkurugenzi Mtendaji HESLB umesitishwa.
Waliosimamishwa ni Mhasibu Mkuu, Mkurugenzi wa Utoaji Mikopo Laizer na Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo, wamesimamishwa kupisha uchunguzi.
Amewateua wafuatao ku Kaimu nafasi; Kaimu Mkurugenzi Mtendaji mteule ni Bw. Jerry Sabi kutoka Mzumbe University na Kaimu Mhasibu Mkuu mteule ni Bw. Daniel Mafie kutoka NECTA
Post a Comment