Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiagana na Kamishna
wa jeshi la Polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame leo baada ya hafla ya
chakula maalum ilichokiandaa kwa Vikosi vya ulinzi vilivyoshiriki
sherehe za Maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar,hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya mpira Makamo Makuu ya
Polisi Ziwani Zanzibar Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akichukua chakula
wakati wa hafla ya chakula maalum iliyofanyika leo katika viwanja vya
mpira Makamo Makuu ya Polisi Ziwani Zanzibar kwa Vikosi vya ulinzi
vilivyoshiriki sherehe za Maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar (katikati) Kamishna wa jeshi la Polisi Zanzibar Hamdani Omar
Makam
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)pamoja na viongozi
wengine wakiitikia dua iliyoombwa baada ya chakula alichowaandalia
askari wa vikosi vya ulinzi leo katika viwanja vya katika viwanja vya
mpira Makamo Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Unguja kwa ushiriki wao katika
sherehe za Maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
skari wa Vikosi vya Ulinzi wakiwa
katika hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja
vya katika viwanja vya mpira Makamo Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Unguja
kwa ushiriki wao katika sherehe za Maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi
Matukufu ya Zanzibar.
Askari wa Vikosi vya Ulinzi wakiwa
katika hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja
vya katika viwanja vya mpira Makamo Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Unguja
kwa ushiriki wao katika sherehe za Maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi
Matukufu ya Zanzibar.
Maaskari wa vikozi vya ulinzi
wakijipanga kwa mstari wakati wa kuchukua chakula cha mchana
kilichotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika viwanja vya mpira Makamo Makuu
ya Polisi Ziwani Mjini Unguja kwa ushiriki wao katika sherehe za
Maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,Picha na IKULU-Zanzibar
Post a Comment