Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akiwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi
jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya mahojiano kuhusiana na tuhuma za
shambulio, mbunge huyo alikosa dhamana na anashikiliwa na Jeshi la
Polisi. (Picha na Francis Dande)
Halima Mdee (katikati) akiwa na mbunge wa Bunda, Ester Bulaya (wa
pili kushoto) pamoja na wafuasi wa Chadema wakati akielekea mahabusu.
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akisindikizwa na Ofisa wa Polisi
aliyeshika faili kuelekea mahabusu baada ya kukosa dhamana katika Kituo
Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam leo.
Mwanasheria wa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Prof. Abdallah Safari
akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, baada ya mbunge
huyo kukosa dhamana.
Post a Comment