Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

PICHA ZA TUKIO LA KUWEKWA NDANI HALIMA MDEE

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akiwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya mahojiano kuhusiana na tuhuma za shambulio, mbunge huyo alikosa dhamana na anashikiliwa na Jeshi la Polisi. (Picha na Francis Dande)
Halima Mdee (katikati) akiwa na mbunge wa Bunda, Ester Bulaya (wa pili kushoto) pamoja na wafuasi wa Chadema wakati akielekea mahabusu.
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akisindikizwa na Ofisa wa Polisi aliyeshika faili kuelekea mahabusu baada ya kukosa dhamana katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam leo.
Mwanasheria wa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Prof. Abdallah Safari akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, baada ya mbunge huyo kukosa dhamana.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top