Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

YANGA YAZIDI KUKAZA YAICHAPA MGAMBO 2-1


 Kipa wa Mgambo Shooting, Said Khamis akiokoa moja ya hatari langoni mwake katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara lwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)
Beki wa Mgambo Shooting, Salum Mlima akichuana na Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la kusawazisha.
Mshambuiaji wa Yanga, Amissi Tambwe akiwania mpira.
 Kikosi cha Mgambo.
 Kikosi cha Yanga.
Mahabiki wa Yanga wakishangilia timu yao.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top