Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Picha: Watangazaji Gerald Hando na PJ Waanza kazi EFM kwa Mkwara

Ushindani kwenye vituo vya redio nchini umefika katika ubora wake.

Gerald Hando, Adella Tillya na Paul James wakiwa nje ya jengo la K-Net wakiendesha kipindi chao live

Kwa siku nyingi wapenzi wa redio walikuwa wakiwasubiri kwa hamu Gerald Hando na Paul James waliohamia EFM kuona wana kipya gani.

Leo, May 2, wawili hao wameanza kwenda hewani kupitia kipindi cha Joto la Asubuhi. Aliyekuwa mtayarishaji wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM walikokuwa wawili hao, Abel Onesmo naye ameungana nao.

Hata hivyo wawili hao wameanza kazi kwa mtindo wa aina yake. Kipindi cha Joto la Asubuhi kimezinduliwa upya kwa matangazo kurushwa live nje ya jengo la K-Net zilipo studio zake maeneo ya Maringo – Kona ya Kawe.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top