Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Waziri Mkuu Pinda:Madiwani nchini kupewa posho mpya zilizoboreshewa



Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo katika hotuba yake Bungeni amesema kwamba kuanzia Mwaka ujao wa Fedha Wataanza kuwalipa Madiwani Posho mpya iliyoboreshwa.

Hatua hiyo iliamsha shangwe miongoni mwa wabunge kwa kushangilia hatua hiyo ya Serikali ya kuboresha posho mpya ya Madiwani.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top