Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Almanusura tumnase vizuri

Tulijaribu kumnasa jamaa huyu aliekuwa amesimama kwa nyuma kwenye gari hili dogo la mizigo likitokea Ilala Sokoni likiwa limesheni viroba vya mboga mboga na matunda hapa ni eneo la Magomeni alipoanza kufungua baadhi ya mizigo hapo ili aingie chaka bahati nzuri aliwahi kimbia ndipo wenye gari wakasimama baada ya kuelezwa na dereva na abiria tuliopanda daladala hiyo Usalama wake hakuujali mwaizi huyu !!
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top