Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

FABIO BORINI KIFAA CHA KWANZA KUTUA BWAWA LA MAINI

Fabio Borini Akituma ''text mesage'' kuwa tayari nishamwaga wino kukipigia Bwawa la Maini Liverpool Fc akiwa ni mchezaji wa Kwanza kutua hapo toka Kocha Brendan Rodgers alipochukua mikoba ya kuinoa timu hiyo.Fabio mwenye miaka 21 aliwahi kufundishwa na Rodgers akiwa na timu ya vijana ya Chelsea na baadae kuungana nae tena Swansea msimu wa 2010/2011 alipoweza kufunga magoli sita kati ya mechi tisa alizochezea timu hiyo walipomchukua kwa mkopo.Hii ni mara ya tatu wa kukutana.
Fabio akiwa Roma msimu uliopita ambapo alifanya vizuri na kuchaguliwa timu ya Italia katika mashindano yaliyoisha ya EURO 2012.
Kaeni mkao wa kufungwa Bwawa la Maini linasukwa upya....NI MAGOLI TU
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top