Kuharibika kwa Reli ya Moshi-Arusha maeneo ya Rundugai kulikotokana na mvua za masikaKuharibika kw Reli ya moshi Arusha maeneo ya Rundugai
Maafa ya kuharibika kw Reli ya Moshi Arusha yaliyosababishwa na Mvua za masika nje kidogo Kijiji cha RundugaiHii ni sehemu tu ya Reli ya Moshi-Arusha ambayo serikali imeamua kuifufua tena ili kuweza kusafirisha abiria na mizigo.Reli hii ambayo ni mojawapo ya zilizotelekezwa ukianza na Reli ya Tanga-Moshi hadi Arusha, sio reli tena bali ni msitu Wizara ya Uchukuzi ina jukumu kubwa kuifufua tena....nawasilisha !!
Picha na Habari na
Mdau Naimann Kavumo toka kilimanjaro.
Post a Comment