Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KUTOKA UCHINA:Biashara Matangazo !

Tanzania inabidi tubadili jinsi ya kufanya biashara. Kama unavyoona kwenye picha ni wafanyakazi wa hoteli wako nje ya hotel yao ili kuvutia wateja. Hii huwa inafanyika mara kwa mara na wanakuwa wamevaa sare za kazi na wanakuwa na acting za aina kadhaa ili kuvutia wateja. at the end of the day hoteli inakuwa imejaa. Unayemuona kwenye picha hapo mlangoni(alieshika kiuno shati jeupe) ni mmoja wa mameneja wa hoteli wakati bongo huwezi kukuta meneja anajichanganya na wafanyakazi wengine
Hapa China unamkuta Mwenye hoteli yuko karibu na wafanyakazi hivo inaongeza motisha. Meneja au hata mwenye hoteli unawezakuta anafanya kazi kama kawaida na kuwa karibu na wafanyakazi wake.

Sasa mambo ya bongo kuwa kibaya hujitembeza na kizuri chajiuza hapa hamnahuo usemi na hata hivyo ni dhana ya zamani isiyofanya kazi kwa sasa. Kwa China ukienda kwa hoteli unapokelewa toka nje tofauti na bongo. Wana kasoro zao ila kwa biashara wako makini sana kwenye biashara.

Na Zeph !!

Mdau wa Blog,China.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

1 comments:

mkuu,naona wadau wa rundugai wanazidi kuongezeka.

Amani.

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top