Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Kanda ya Afrika kuhusu Uwezeshaji wa Vyama vya Siasa, ulioanza leo Julai 10, 2012 katika Hoteli ya White Sands, jijini Dar es Salaam.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo mara baada ya kufungua rasmi mkutano huo.
Picha na Muhidin Sufiani-OMR.
Loading...
Post a Comment