Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Sumatra- Meli ilikuwa na abiria 248

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa nchi kavu na majini(SUMATRA) IMESEMAmeli iliyozama leo katika kisiwa cha Chumbe Zanzibar ilikuwa na abiria 248 na watoto 31.

Meli hiyo iliondoka dar leo saa sita mchana ikiwa na mabaharia tisa.

meli hiyo inaruhusiwa kubeba abiria 300 na tani 26 za mizigo.

meli hiyo  Mv Skagit inamilikiwa na Seagull Transport.

Habari kamili bofya hapa
Sumatra- Meli ilikuwa na abiria 248
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top