Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TAARIFA RASMI KUTOKA BARAZA LA MADAKTARI

Kwa kuzingatia masharti ya Sheria kuhusu kupata usajili wa muda, Baraza la Madaktari Tanganyika limeridhika kwamba madaktari wote ambao majina yao yameorodheshwa katika Taarifa hii, wamepoteza sifa na kwa sababu hiyo, usajili wao umesitishwa kuanzia tarehe 11 Julai, 2012. Madaktari wote wanaohusika wanatakiwa kurejesha hati za usajili wa muda kwenye Ofisi ya Msajili wa Madaktari kabla ya tarehe 17 Julai, 2012.
S/NO
JINA
REG. NO.

MUHIMBILI

1
Dr. Dickson N. Sahini
363
2
Dr. Elphas G. Mrita
4902
3
Dr. Anastazia E. Komba
4973
4
Dr. Anna Lwemunge
5086
5
Dr. Mariam Amour
4974
6
Dr. Jackline Matowo
5372
7
Dr. Baya Kisiwa
4970
8
Dr. Lilian B. Komba
4871
9
Dr. Pavina Kazaura
5089
10
Dr. Herifrid Kimambo
5377
11
Dr. Kokuhabwa Mukurasi
5095
12
Dr. Evance Godfrey
5059
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top