Kwa kuzingatia masharti ya Sheria kuhusu kupata usajili wa muda, Baraza la Madaktari Tanganyika limeridhika kwamba madaktari wote ambao majina yao yameorodheshwa katika Taarifa hii, wamepoteza sifa na kwa sababu hiyo, usajili wao umesitishwa kuanzia tarehe 11 Julai, 2012. Madaktari wote wanaohusika wanatakiwa kurejesha hati za usajili wa muda kwenye Ofisi ya Msajili wa Madaktari kabla ya tarehe 17 Julai, 2012.
S/NO | JINA | REG. NO. |
MUHIMBILI | ||
1 | Dr. Dickson N. Sahini | 363 |
2 | Dr. Elphas G. Mrita | 4902 |
3 | Dr. Anastazia E. Komba | 4973 |
4 | Dr. Anna Lwemunge | 5086 |
5 | Dr. Mariam Amour | 4974 |
6 | Dr. Jackline Matowo | 5372 |
7 | Dr. Baya Kisiwa | 4970 |
8 | Dr. Lilian B. Komba | 4871 |
9 | Dr. Pavina Kazaura | 5089 |
10 | Dr. Herifrid Kimambo | 5377 |
11 | Dr. Kokuhabwa Mukurasi | 5095 |
12 | Dr. Evance Godfrey | 5059 |
Kusoma Majina Yote Bofya na endelea kusoma Hapa>>>>>>>>>>>>>
Post a Comment