1.Watu 2 wamefariki baada ya pikipiki waliyopanda kugongana uso kwa uso na gari kubwa (fuso) maeneo ya Wami Dakawa wilayani Mvomero.
2.Raisi wa Liberia Mhe. Ellen Johnson Sirleaf kuwasili nchini leo kwa ziara rasmi ya siku 3.
3.Serikali imeondoa kodi ya ongezeko la thamani kwenye zana za uvuvi,injini za kupachika,vifunganishio na nyuzi za kutengenezea nyavu
Post a Comment