Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA YAENDELEA

Mkuu wa Kitivo cha Sayansi,Teknolojia na Mazingira Dr.G.L.Mhehe akitoa neno la kumkaribisha Mkurugenzi wa TCRA ili aweze kufungua maonyesho hayo ya Kitivo cha Sayansi,Teknolojia na Mazingira leo katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika Kituo cha Kinondoni ikiwa ni muendelezo wa Madhimisho ya Miaka 20 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofunguliwa jana.


Prof.Nkoma wa TCRA akiongea kama mgeni rasmi leo katika maonyesho ya Kitivo cha Sayansi,teknolojia na mazingira .

Makamu Mkuu wa Chuo,Prof.Tolly Mbwette(Kushoto) akiteta jambo na Mkufunzi wa kitivo cha Sayansi,teknolojia na mazingira .Wadau wa Kitivo Luihamu Ringo akiwa na Jacqueline(Kulia) wakiwa kwenye maonyesho hayo huku wakiwa wamepiga pamba rasmi ya Maadhimisho ya Miaka 20 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.


Principal wa DIT Prof.Kondoro akiongea na waandishi wa habari baada ya kutembelea maonyesho hayo ya kuadhimisha miaka 20 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania leo katika kituo cha Kinondoni

Patricia Boshe toka kitivo cha Sheria akipozi kwa mbele ya bango linaloonyesha Miaka 20 ya ChuoMdau Luihamu Ringo akishoo love kwa kamera ya Rundugai Blog kuonyesha amani tele hapo.

'''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''
Maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliendelea leo katika ukumbi wa mikutano katika Kituo cha Kinondoni kwa Kitivo cha Sayansi,teknolojia na mazingira walikuwa wakionyesha kozi mbalimbali wanazozitoa katika kitivo hicho na pamoja na tafiti mbalimbali walizofanya na wanazoendelea kutafiti.Unakaribishwa sana kujionea Maonyesho hayo yanayoendelea Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania.

Na Luihamu Ringo

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top