Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume


 
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad (kulia) na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, kila mmoja akiwa na shauku ya kutaka kumweleza mwenzake chochote, walipokutana katika hoteli ya Bwawani kwa ajili ya Baraza la Eid-El-Fitri. Viongozi hawa ndio walioasisi maridhiano ya kisiasa Zanzibar na kupatikana Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top