Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

RUFAA YA LEMA KUSIKILIZWA LEO


JAJI Mkuu wa Tanzania Othuman Chande, ataongoza jopo la majaji watatu katika kutoa hukumu ya rufaa ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini Godbles Lema, leo inatarajiwa kutolewa hukumu katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
Lema (Chadema), alivuliwa Mbunge Mahakama kwa kile kilichoelezwa kuwa ni ukiukaji wa taratibu za uchaguzi, ikiwemo matumizi ya Lugha za matusi.
Hukumu ya leo ni mwendelezo wa rufaa yake ambayo Lema aliitaka kupinga kuvuliwa ubunge.
Katika rufaa hiyo Jaji Mkuu atawaongoza Jaji Salum Masati na Mh.Jaji Natalia Kimaro.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top