Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

CECAFA CHALLENGE CUP:TANZANIA USO KWA USO NA SUDAN

Ratiba na makundi ya CECAFA challenge mwaka huu imetangazwa timu zikipangwa kwenye makundi na Tanzania ikipangwa Kundi B na Zanzibar wakiwa kundi C michuano hiyo inaanza tarehe 24 Novemba.

Kundi A: Uganda, Kenya, Ethiopia, South Sudan 

Kundi B: Tanzania, Sudan, Burundi na Somalia 

Kundi C: Rwanda, Malawi, Zanzibar na Eritrea
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top