MCHAKAMCHAKA 2015 SASA NI MKOA WA KIGOMA.
Kwa wiki mbili mfululizo sasa wakurugenzi wa chama na maafisa
mbalimbali wako mkoani Kigoma kwa ajili ya mikutano ya hadhara, vikao
vya ndani, uhakiki wa wanachama, ufunguaji wa matawi mapya na kuimarisha
mtandao wa uongozi wa CUF mkoani humo.
Kuanzia tarehe 17, 18,
19, 20 na 21 viongozi wote wa kitaifa watakuwepo mkoani Kigoma kwa ajili
ya mikutano mikubwa ya hadhara na vikao vya ndani.
Huu ni mchakamchaka kuelekea 2015, tumejipanga vya kutosha kuendelea
kuwaelimisha watanzania na hasa kuomba uungwaji mkono wap ili siku moja
rasilimali za nchi hii ziwanufaishe watanzania wote.
Mungu ibariki Tanzania.
Huu ni mchakamchaka kuelekea 2015, tumejipanga vya kutosha kuendelea kuwaelimisha watanzania na hasa kuomba uungwaji mkono wap ili siku moja rasilimali za nchi hii ziwanufaishe watanzania wote.
Mungu ibariki Tanzania.
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Siasa
on Tuesday, November 13, 2012
Post a Comment