Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akipozi na kikosi kizima cha michezo
mbalimbali cha Ikulu Sports Club ambacho kilinyakua jumla ya makombe
matano katika michezo mbalimbali ya Shirikisho la Michezo ya Wizara
(SHIMIWI) mwaka huu mjini Morogoro. Kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu
Ikulu Mama Suzana Mlawi na kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Huduma za
Ikulu Bw Julius Mogore katika hafla ya kukabidhi makombe na kuwazawadia
wafanyakazi bora iliyofanyika leo Deswemba 17, 2012 Ikulu jijini Dar es
salaam. Kwenye michezo hiyo iliyofanyika kuanzia Septemba 22 hadi Oktoba
10 mwakq huu, ilishirikisha jumla ya wanamichezo 3500 kutoka wizara 56,
mikoa 18 na idara za serikali 14 ambapo wanamichezo 91 wa Ikulu
walioshiriki walifanikiwa kuibuka washindi wa kwanza katika michezo ya
Baiskeli, Netbal, Kuvuta kamba wanawake na wanaume na kushik nafasi ya
pili ya riadha kwa wanawake na wanaume.
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akinyanyua juu mojawapo ya makombe
matano ambayo Ikulu Sports Club ilinyakua kwenye michezo ya SHIMIWI
ya maka huu mjini Dodoma katika hafla ya kukabidhi makombe na
kuwazawadia wafanyakazi bora iliyofanyika leo Desemba 17, 2012 Ikulu
jijini Dar es salaam. Kwenye michezo hiyo iliyofanyika kuanzia Septemba
22 hadi Oktoba 10 mwakq huu, ilishirikisha jumla ya wanamichezo 3500
kutoka wizara 56, mikoa 18 na idara za serikali 14 ambapo wanamichezo 91
wa Ikulu walioshiriki walifanikiwa kuibuka washindi wa kwanza katika
michezo ya Baiskeli, Netbal, Kuvuta kamba wanawake na wanaume na kushik
nafasi ya pili ya riadha kwa wanawake na wanaume.
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika picha na Bw. Miraji
Ahmed Saleh ambaye ameibuka kuwa mfanyakazi Bora na Hodari kwa mpigo,
akiwa kama Msaidizi wa Ofisi Mwandamizi katika Idara ya Huduma za Ikulu
na Zahanati katika hafla ya kukabidhi makombe na kuwazawadia wafanyakazi
bora iliyofanyika leo Desemba 17, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam.
Naibu
Katibu Mkuu Ikulu Mama Suzana Mlawi akiwa na Mwadawa Twalibu, Sophie
Komba na Pascalia Kibayasa ambao wachezaji wa timu ya netball ya Ikulu
Sports Club ambao pia ni wachezaji wa timu ya taifa ya mchezo huo (Taifa
Queens) kwenye hafla ya kuwazawadia iliyofanyika leo Desemba 17, 2012
Ikulu jijini Dar es salaam.
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika picha na Bw. Miraji
Ahmed Saleh ambaye ameibuka kuwa mfanyakazi Bora na Hodari kwa mpigo,
akiwa kama Msaidizi wa Ofisi Mwandamizi katika Idara ya Huduma za Ikulu
na Zahanati katika hafla ya kukabidhi makombe na kuwazawadia wafanyakazi
bora iliyofanyika leo Desemba 17, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa na Mwadawa Twalibu, Sophie
Komba na Pascalia Kibayasa wachezaji wa netball wa Ikulu Sports Club
ambao pia ni wachezaji wa timu ya Taifa (Taifa Queens) ya mchezo huo
kwenye hafla ya kuwazawadia iliyofanyika leo Desemba 17, 2012 Ikulu
jijini Dar es salaam.
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa nane toka kulia ) pamoja na Naibu
Katibu Mkuu Ikulu Mama Suzana Mlawi (kulia kwake) na Mkurugenzi wa
Huduma za Ikulu Bw Julius Mogore (wa pili kushoto ) pamoja na mwenyekiti
wa TUGHE tawi la Ikulu Bw. Paulo Mgeni (kulia) wakiwa na Mwadawa
Twalibu, Sophie Komba na Pascalia Kibayasa ambao wachezaji wa timu ya
netball ya Ikulu Sports Club ambao pia ni wachezaji wa timu ya taifa ya
mchezo huo (Taifa Queens) kwenye hafla ya kuwazawadia iliyofanyika leo
Desemba 17, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU.
Post a Comment