Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MABADILIKO YA MIHULA YA SHULE ZA SEKONDARI NA VYUO VYA UALIMU

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) anapenda kuwatangazia watahiniwa wanaotarajia kufanya mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2013 kuwa, mtihani huo utafanyika mwezi Februari. Mabadiliko ya mihula yaliyofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi yataanza kutumika na Watahiniwa wa Kidato cha Nne mwaka 2013, ambao watafanya mtihani wao mwezi Novemba na Watahiniwa wa Kidato cha Sita mwaka 2014 ambao watafanya mtihani wao mwezi Mei.

Bofya hapa kusoma ratiba ya mtihani wa Kidato cha Sita 2013.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top