Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa
zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya Shahada
ya Sanaa na Elimu, kwa Sabrina Saidi Rashid,katika sherehe za Mahafali
ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo.
Baadhi
ya Viongozi wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walioalikwa
katika sherehe za Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
(SUZA) zilizofanyika leo katika kampasi ya Tunguu,Mkoa wa Kusini Unguja. .
Wahitimu
wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ngazi ya Stashahada ya
Lugha na Elimu, wakati walipokuwa wakitunukiwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) pia Mkuu
wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), katika sherehe za
mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya
Tunguu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa
zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya Cheti cha Teknolojia ya
Habari,(IT) kwa Lukuman Mohamed Bachu,katika sherehe za Mahafali ya
nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Sunday, December 23, 2012
Post a Comment