Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

NAIBU WAZIRI AKUTANA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA LABIOFAM KUTOKA CUBA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (katikati),  akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Jose Antonio Fraga Castro (kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya LABIOFAM ya Cuba na Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo (kulia), Balozi wa Cuba hapa nchini mara  baada ya kuzungumza nao kuhusu kampuni hiyo. Kampuni ya Labiofam inajenga kiwanda cha kutengeneza madawa ya kuulia vimelea vya malaria huko Kibaha.


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (katikati),  akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Jose Antonio Fraga Castro (kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya LABIOFAM ya Cuba na Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo (wa kwanza kulia), Balozi wa Cuba hapa nchini na wajumbe wengine waliofuatana nao kutoka Cuba . Kushoto ni Bi. Upendo Mwasha, Afisa Mambo ya Nje.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top