|
Naibu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma
Maalim (Mb.) akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Bibi Joyce
Mends-Cole, Mwakilishi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia
Wakimbizi (UNHCR) hapa nchini. Hafla hiyo fupi ilifanyika leo Wizarani. |
|
Mhe. Mahadhi akizungumza na Bibi Mends-Cole mara baada ya kupokea Hati za Utambulisho. |
|
Bibi Mends-Cole akifafanua jambo kwa Mhe. Maalim wakati wa mazungumzo yao. |
|
Maafisa
kutoka Ofisi za UNHCR hapa nchini waliofutana na Bibi Mends-Cole
(hayupo pichani) alipofika Wizarani kuwasilisha Hati za Utambulisho.
Kushoto ni Bi. Linmei Li na Bi. Janet Sato-Prima. |
|
Maafisa
kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Ali J.
Mwadini na Bi. Ramla Khamis wakinukuu masuala mbalimbali wakati wa
mazungumzo kati ya Mhe. Maalim na Bibi Mends-Cole (hawapo pichani) |
|
Mhe. Maalim akiagana na Bibi Mends-Cole mara baada ya mazungumzo yao. |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Friday, December 28, 2012
Post a Comment