Hili
si zizi la Mbuzi au banda la kuku bali ni Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM) iliyopo Kijiji cha Kiaseni Kata ya Kishumundu, Wilaya ya Moshi
Vijijini Mkoani Kilimanjaro. Ofisi hii iliyopo katika jimbo la Mbunge
Thirili Chami ni miongoni tu mwa ofisi nyingi za chama hicho katika
vijiji vingi nchini ambazo zipo katika hali mbaya huku baadhi ya Vijiji
Kama kile cha Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali, Wilayani Mvomero Mkoani
Morogoro vikiwa havina kabisa Majengo ya Ofisi za chama hicho Tawala
jambo ambalo linaathiri utendaji wa Viongozi wa Chama ambao ndio
wameshikilia mhimili wa kuiongoza dola.
Chanzo:Kilimanjaro Yetu Blog
Post a Comment