 |
Baadhi
ya wanafunzi wahitimu wa mafunzo ya uandishi wa habari kwenye Chuo Cha
Uandishi wa habari Cha Times (Times School of Journalism) wakifuatilia
mahafali ya 12 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaaam,
ambapo wanafunzi wa Stashahada na Astashahada wamehitimu. |
 |
Wakifuatilia hotuba ya Mgeni Rasmi kwenye mahafali hayo huku wakiwa na tabasamu tele baada ya kumaliza Masomo yao. |
 |
Wadau wakipozi baada ya kula Nondozzzzz! Kwa furaha kubwa wanashoo love kwa kamera . |
 |
Mgeni
rasmi kwenye mahafali hayo Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba nchini Deus
Kibamba akizungumza na wazazi, wanafunzi na wahitimu wa Masomo wa Chuo
hicho kwenye mahafali yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Picha na Burudani Mwanzo Mwisho Blog. | |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Friday, December 14, 2012
Post a Comment